Tabora yaongoza kwa wanafunzi hewa 6,985

George Simbachawene - wazir wa TAMISEMI

Serikali imefanikiwa kuokoa Sh. 931,317,500 baada ya kushitukia kuwapo kwa wanafunzi ‘hewa’ katika shule za msingi na sekondari nchini katika mwaka wa fedha 2016/17.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS