Chama cha Kuogelea Tanzania chaomba msaada

Kuogelea

Chama Cha Kuogelea nchini TSA kimeomba wadau wa mchezo huo kujitokeza kusaidia miundombinu ya mchezo huo ili makocha wa mchezo huo waweze kufaidika pindi wanapomaliza kozi mbalimbali za mchezo huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS