Vigogo TFF wafikishwa mahakamani kwa rushwa
Waliokuwa viongozi katika Shirikisho la Soka nchini tanzania (TFF), Martine Chacha na Juma Matandiko wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka ya kuomba rushwa.