Pluijm ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi Yanga Hans Van der Pluijm Klabu ya Yanga imethibitisha kuwa Hans Van der Pluijm amekubali kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu hiyo huku nafasi ya Kocha Mkuu ikichukuliwa na George Lwandamina kutoka Zesco ya Zambia. Read more about Pluijm ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi Yanga