Murray amchapa Djokovic na kung'ang'ania kileleni

Andy Murray

Muingereza Andy Murray ametwaa taji lake la kwanza la ATP World Tour baada ya kumchapa nguli wa mchezo wa tennis duniani Novak Djokovic kwa jumla ya seti 2-0 katika mchezo wa fainali za mashindano hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS