Watumishi TAMISEMI watakiwa kupunguza matumizi

Waziri wa TAMISEMI - George Simbachawene

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI George Simbachawene amewataka watumishi wa umma kuhakikisha wanafanya kazi kwa uadilifu na kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma, sambamba na kujiepusha na rushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS