Waziri Nape kutikisa anga la Afrika Mashariki leo
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye leo anatarajiwa kutikisa anga la Afrika Mashariki pale atakapoongoza utoaji wa tuzo kubwa za muziki na filamu katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.
