Waziri Nape kutikisa anga la Afrika Mashariki leo

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye leo anatarajiwa kutikisa anga la Afrika Mashariki pale atakapoongoza utoaji wa tuzo kubwa za muziki na filamu katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS