NACTE yavifungia vyuo 26 vya ufundi
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limechukuwa hatua za kinidhamu dhidi ya vyuo 48 kutokana na kukiuka kanuni, sheria na taratibu za utoaji wa elimu ya ufundi huku likifuta kabisa usajili wa vyuo 26 kati ya hivyo.