Wanahabari Mbeya wapinga hukumu ya mahakama

Mwenyekiti wa MBPC, Modestus Nkulu

Chama cha waandishi wa habari mkoani Mbeya (MBPC) kimesema hakijaridhishwa na hukumu iliyomwacha huru dereva Herman Joseph (33) aliyekuwa akiendesha gari iliyowagonga na kuwajeruhi wanahabari watatu waliokuwa njiani kuelekea kazini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS