Vijana waiomba serikali kuwawezesha kujiajiri

Mkuu wa Chuo cha VETA Makete, Ramadhan Sebo akitoa nasaa kwa wanafunzi wanaoingia mtaani kujiajiri.

Vijana wameiomba serikali kuweka mazingira wezeshi ili kuweza kuajiajiri, kwa kuanzisha viwanda vidogovidogo baada ya kuhitimu elimu mbalimbali ikiwa ni pamoja na vyuo vya ufundi wanavyosoma hapa nchini na kupunguza tatizo la ajira kwa kiasi kikubwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS