Jafo apiga marufuku biashara za barabarani Dodoma
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo, amewataka wafanyabiashara wanaotumia maeneo ya waenda kwa miguu pembeni mwa barabara za Manispaa ya Dodoma, kuondoa biashara hizo mara moja na kwenda maeneo waliyopangiwa rasmi.