Majaliwa azitaja NGO zitakazofutwa Loliondo

Waziri Mkuu akizungumza na wanawake wa kimasai alipombelea kituo cha mafunzo ya mikono kilichojengwa na UNICEF, Loliondo

Waziri Kassim Majaliwa amesema Serikali itazifutia usajili Taasisi zote zisizokuwa za Kiserikali (NGO’s) zilizoko kwenye Tarafa ya Loliondo zinazofanyakazi kinyume na katiba zake na sheria ya nchi ambapo ametoa miezi sita zijitathimini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS