Kafulila alipata ajali ya kisiasa - Mbowe

Mbowe (Kushoto), Kafulila (Kulia)

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amempongeza aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila kwa kujiunga na chama hicho kwa mara nyingine huku akisema kuwa kilichompata ni ajali ya kisiasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS