Simba yapotea njia kwenye mashamba ya miwa

Kiungo wa Mtibwa Ally Shomari akipambana na beki wa Simba Hamad Juma

Vinara wa ligi kuu Tanzania Bara imeanza kupoteza mwelekeo wa njia ya ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara baada ya leo kupotea njia kwenye mashamba ya miwa, na kulazimishwa suluhu na wakata miwa wa Mtibwa Sugar

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS