Wenye mitambo ya bunduki wapewa siku 8
Waziri Mkuu ametoa siku nane kwa watu wote wanaomiliki silaha katika wilaya za Kilindi na Kiteto wazipeleke kwenye vituo vya Polisi ili zisajiliwe upya, na kuwataka wenye mitambo ya kutengezea bunduki kujisalimisha wenyewe haraka.