Nash MC alia na wabongo wanaotoana roho 'Bondeni'

Nash MC

Mwana hip hop wa Bongo Nash MC a.k.a Maalim Nash amefunguka na kuwataka baadhi ya watanzania wanaoishi nje ya Tanzania hususani Afrika Kusini kuacha tabia ya kuuana kwani kitendo hicho kinazidi kupoteza ndugu na kwamba huo ni unyama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS