Kigwangalla awashushua wanaolilia ajira

Dkt Hamis Kigwangalla

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Hamis Kigwangalla amewakatisha tamaa watu waliokaa na kusubiri ajira za serikali hususani wale wa sekta ya afya kwa kuwaambia watafute kazi za kufanya badala ya kusubiri ajira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS