Kigwangalla awashushua wanaolilia ajira
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Hamis Kigwangalla amewakatisha tamaa watu waliokaa na kusubiri ajira za serikali hususani wale wa sekta ya afya kwa kuwaambia watafute kazi za kufanya badala ya kusubiri ajira.