Manara akwama kumuoa Wema Sepetu
Hatimaye Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Sunday Manara atashindwa kumposa mnyange Wema Sepetu, baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupangua tena ratiba ya ligi kuu, kwa kusogeza mbele mchezo wa Azam na Ndanda FC.