Kikwete afunguka sakata la dawa za kulevya

Mh. Ridhiwan Kikwete akiwa ndani ya Studio za EA Radio

Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete, amefunguka kuhusu sakata la dawa za kulevya na kuipongeza serikali hususani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwa kuanzisha vita hiyo na kutaka wahusika wachukuliwe hatua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS