Rais Magufuli ateua mkuu mpya wa majeshi

Jenerali Venance S. Mabeyo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli, amemteua Luteni Jenerali Venance S. Mabeyo kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS