Lissu apata kesi mpya, aachiwa kwa dhamana

Picha: Maktaba (Lissu akitoka mahakamani hivi karibuni baada ya kupata dhamana katika kesi nyingine inayomkabili

Mwanasheria Mkuu wa Chama na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ameachiwa kwa dhamana (ya polisi) iliyowekwa na wanasheria wawili, Hekima Mwasipu na Nashon Nkungu baada ya kushikiliwa na polisi  kwa saa kadhaa leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS