Mwakyembe alilia sheria ya siasa baada ya uchaguzi
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Harrison Mwakyembe amewataka, wadau wa sheria kote nchini kutoa mapendekezo ya kuundwa kwa kanuni za kisheria zitakazosimamia vyama vya siasa na wanasiasa mara uchaguzi unapomalizika.