Mwakyembe alivyoshindwa vita ya dawa za kulevya

Waziri Dkt. Harison Mwakyembe (Wakati huo akiwa ni Waziri wa Uchukuzi) akionesha picha ya msanii Agness Gelard maarufu kwa jina la Masogange mbele ya waandishi wa habari, picha zilizotokana na camera za usalama za uwanja wa ndege, zikionesha jinsi alivyopita na kile kilichodaiwa kuwa ilikuwa ni dawa za kulevya, Agost 2013, na kuchukua hatua ya kuwafukuza watumishi wa uwanja huo wa ndege waliodaiwa kumsaidia.

Waziri wa Sheria na Katiba Dkt. Harrison Mwakyembe, amepongeza jitihada za Rais Magufuli za kupambana na dawa za kulevya huku akisimulia alivyoshindwa vita hiyo wakati alipokuwa Wazri wa Uchukuzi, hususan katika Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS