Kocha Hans aangukia rasmi Singida United Kocha Hans akimwaga wino, Singida United Klabu ya Singida United iliyopanda daraja kuingia ligi kuu msimu ujao, imethibitisha kuingia mkataba wa miaka miwili na aliyekuwa Kocha na Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, Hans Van Pluijm. Read more about Kocha Hans aangukia rasmi Singida United