Mr. T Touchez hawezi kuniangusha - Nay

Msanii wa muziki wa hip hop bongo Emmanuel Elibariki a.k.a 'Nay wa Mitego' amesema hawezi kushuka kimuziki kwa kuachana na producer Mr. T Touchez na kusema kuwa hajawahi kuanguka katika muziki wake kutokana na maneno  ya watu wanaomuombea mabaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS