Kocha Hans aangukia rasmi Singida United

Kocha Hans akimwaga wino, Singida United

Klabu ya Singida United iliyopanda daraja kuingia ligi kuu msimu ujao, imethibitisha kuingia mkataba wa miaka miwili na aliyekuwa Kocha na Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, Hans Van Pluijm.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS