Siasa zakwamisha ngoma mpya ya Dogo Janja Dogo Janja Msanii Dogo Janja ‘Janjaro‘ anayetamba na ngoma ya Kidebe amesema hawezi kuachia ngoma yake mpya kama jinsi ambavyo alivyokuwa amepanga kutokana na watanzania wengi kuwa ‘busy’ na masuala ya siasa. Read more about Siasa zakwamisha ngoma mpya ya Dogo Janja