'Viroba' mwisho tarehe 01 Machi, 2017

Viroba

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuanzia Machi mosi, 2017 Serikali itapiga marufuku matumizi ya pakiti za plastiki kufungashiwa pombe kali maarufu kwa jina la ‘viroba’.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS