Mwambusi amtaja aliyeiangusha Yanga

Mwambusi (Kushoto):
Kulia ni Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib akimtoka beki wa Yanga Mwinyi Haji katika mchezo huo ambao Simba imeshinda bao 2-1

Mara baada ya Yanga kuchezea kipigo cha mabao 2- kutoka kwa mahasimu wao Simb, Kocha Msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi amefunguka sababu za timu yake kupoteza mchezo mojawapo ikiwa ni kuumia kwa kiungo wake Thaban Kamusoko.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS