Kilichofanya TID amuite Jide 'genious'
Mbongo fleva ambaye amegoma kuitwa jina la TID na kupendekeza aitwe 'Mnyama' amekiri hewani kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio kuwa mkongwe wa muziki Bongo Lady Jadee ni 'genious' kwa kitendo cha kuwa na albam yenye jina kama la albam yake.

