Raila agomea ushindi wa Kenyatta

Kiongozi wa muungano wa upinzani (NASA) nchini Kenya, Raila Odinga amezungumzia uamuzi uliotolewa na mahakama ya juu wa kuidhinisha uchaguzi wa Uhuru Kenyatta na kudai kwamba uamuzi huo umefanywa kwa shinikizo na kwamba wao hawatambui ushindi huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS