Wabunge wa chadema wazidi kusota Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, imewanyima dhamana, Wabunge Peter Lijualikali, Suzan Kiwanga na wafuasi wengine 34 wa Chadema wakiwepo madiwani, na kuwarudisha mahabusu hadi Disemba 04 mwaka huu. Read more about Wabunge wa chadema wazidi kusota