Nyumba ya Fid Q yanusurika kubomolewa

Mwenyekiti wa serikali za mtaa wa Mbweni Teta, Abdallah Mrisho amefunguka na kudai sio kweli nyumba ya msanii Fid Q imejengwa katika kiwanja kisicho rasmi kwa shughuli za makazi bali watu wanafananisha na eneo hilo na nyumba ya serikali za mtaa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS