Refarii afungiwa kuchezesha soka Shirikisho la soka la Ufaransa (FFF) kupitia kamati ya nidhamu inayosimamia ligi kuu nchini humo Ligue 1 imemfungia miezi sita mwamuzi Tony Chapron kwa kosa la kumpiga mchezaji kisha kumwadhibu kwa kadi. Read more about Refarii afungiwa kuchezesha soka