CHADEMA yatoa ratiba ya mazishi

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kinatarajia kuongoza shughuli za utoaji wa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Katibu wa chama hicho Kata ya Hananasif Jimbo la Kinondoni, Daniely John siku ya kesho (Jumanne).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS