Urusi yaingia kwenye rekodi nyingine

Mchezaji wa timu ya Urusi Yury Gazinsky aibuka kuwa mfungaji wa bao la kwanza kwenye fainali za Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 ambapo bao lake amelipashika mnamo dakika ya 12 za kipindi cha kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS