Sugu aelezea kuteswa na watu wa Mbeya

Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) ambaye pia ni msanii nguli na mkongwe kwenye game ya hip hop ya bongo, ametimiza ahadi yake ya kutoa nyimbo aliyoipa jina la namba yake ya jela, 219 ambayo ndani yake ameelezea matukio mbalimbali anayokutana nayo ndani ya siasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS