Gambo awaomba BAKWATA kupiga marufuku

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amelitaka Baraza Kuu la Waislamu mkoani Arusha kukemea tabia ya baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu kucheza mchezo wa kareti misikitini na kusisitiza kwamba tabia hizo haifai. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS