Singida yamwongezea changamoto Manyika

Mlinda mlango wa Singida United Peter Manyika Jr.

Singida United ambayo ilimaliza katika nafasi ya 5 katika msimu wake wa kwanza kwenye Ligi kuu soka Tanzania Bara 2017/18, imeendelea kuimarisha kikosi chake, mara hii ikimpa changamoto mlinda mlango wake namba moja Manyika Jr kwa kumsajili aliyekuwa kipa wa Njombe Mji David Kissu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS