“Muna nakupenda, yaliyopita si ndwele” Wema Sepetu
Migizajia Wema Sepetu kushoto akiwa na Muna Love
Muigizaji Wema Sepetu ameweka wazi hisia zake na kusisitiza juu ya umuhimu wa kuwepo kwa hali ya amani katika kipindi hiki cha msiba wa mtoto wa Patrick.