Mchezaji wa Azam atimkia Hispania Mshambuliaji chipukizi wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda akisaini Mkataba. Mshambuliaji chipukizi wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na CD Tenerife ya Daraja la Kwanza nchini Hispania. Read more about Mchezaji wa Azam atimkia Hispania