Aliyekuwa mshauri wa timu ya vijana nchini, Kocha Kim Poulsen.
Kocha Kim Poulsen ameamua kuachia ngazi timu ya vijana, ambapo alikuwa mshauri wa timu za vijana nchini kufuatia kukumbana na changamoto mbalimbali licha ya kufanya kazi hiyo kwa kipindi kirefu.