Sababu za ACT kutokukubalika na wanawake

Katibu wa Itikadi na Uenezi Chama cha ACT - Wazalendo

Katibu wa Itikadi na Uenezi Chama cha ACT - Wazalendo, Ndg. Ado Shaibu amedai sababu kubwa ya  chama chao kuonekana hakikubaliki na wanawake wengi ni kutokana na mazingira yasiyo rafiki ya kufanya siasa za upinzani yalivyo nchini na kwamba hayavutii wanawake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS