Jeshi la Polisi yafungukia kiini cha ajali Mbeya

Picha hii ni miongoni mwa ajali zilizotokea katika mlima wa Igawilo siku za hivi karibuni na kusababisha kuua takribani watu watano

Ikiwa imepita siku 1 tangu ilipotokea ajali ya lori Jijini Mbeya katika mlima wa Igawilo na kusababisha kuua mtu mmoja, Jeshi la Polisi mkoani humo limesema limeshafahamu kiini cha ajali hizo za kila mara na kudai lina mikakati madhubuti ya kudhibiti eneo hilo kwa kushirikiana na TANROADS.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS