Meck Sadick atoa neno baada ya Tarimba kukaa kando
Tarimba Abbas (kushoto) na Meck Sadick (Kulia)
Makamu Mwenyekiti wa kamati ya kuivusha Yanga, Meck Sadick, amesema hana taarifa rasmi za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wake katika kamati hiyo Tarimba Abbas, bali amezisikia tu kama watu wengine.