Droo ya robo fainali Bball Kings ilivyofanyika

Kushoto ni Mkurugenzi wa Ufundi (BD) Goabert Msigati na kulia ni Alfred Makoye Kamishna wa waamuzi TBF, wakichezesha droo.

Baada ya michuano ya Sprite Bball Kings kupitia katika hatua za mchujo na 16 bora, hatimaye wikiendi ya Julai 7 na 8 zilipatikana timu zitakazocheza robo fainali na jana usiku ikachezeshwa droo ya kupanga mechi za hatua hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS