IGP Sirro awataka viongozi wa dini kufanya doria

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiwasalimu viongozi wa dini.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewaomba Viongozi wa dini nchini kuendelea kufanya doria za kiroho huku Jeshi hilo likiendeleza doria za kimwili kwa pamoja ili kuukabili uhalifu ikiwemo mauaji yanayosababishwa na wivu wa mapenzi yaliyoshamiri siku za hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS