Bwege aianika mipango iliyowekwa kuvunja upinzani

Mbunge wa jimbo la Kilwa Kusini (CUF), Selemani Bungara maarufu kama 'Bwege'.

Mbunge wa jimbo la Kilwa Kusini (CUF), Selemani Bungara maarufu kama 'Bwege' amedai mgogoro uliokuwepo katika chama chao umepangwa na dola kwa lengo la kukipoteza chama hicho ili kusudi kusiwepo kabisa na upinzani ambao utakuwa unachuana na chama tawala katika chaguzi mbalimba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS