East Africa Redio yapongezwa, mikopo ya wanafunzi

Kushoto ni Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP), Abdul Nondo, Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa bodi ya mikopo Abdul –Razaq Badru

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP), Abdul Nondo amekipongeza kituo cha habari cha  East Africa Radio kuwa mstari wa mbele katika kufuatilia suala la changamoto ya usajili wa kuomba mkopo  iliyokuwa inawakumba wanafunzi wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu  mwaka 2018.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS