Yanga wamkataa mchezaji wa bure

Mchezaji Elisha Muroiwa

Baada ya pazia la usajili kwa vilabu 20 vya ligi kuu soka Tanzania bara kufungwa majira ya saa 6:00 usiku wa jana, imethibitika kuwa klabu ya Yanga imemrudisha mlinzi Elisha Muroiwa kwenye klabu yake ya Singida United baada ya kumwongezea mkataba mlinzi Kelvin Yondani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS