Hatimaye watanzania kumiliki ardhi ghorofani

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.

Serikali imeandaa mpango mji mpya katika jiji la Dar es Salaam utakaowezesha wananchi kupata hati miliki ya ardhi juu ya nyumba (ghorofani) na kuwa na haki sawa kama mmiliki wa kiwanja na katika mpango huo wananchi wenyewe ndiyo watakaopanga matumizi ya ardhi yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS