Vijana wengi kupoteza ajira Tanzania

Picha hii haina mahusiano ya moja kwa moja na habari.

Vijana wengi wanadhaniwa kuja kupoteza ajira kutokana na agizo la Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Fortunatus Muslim  la kuwataka madereva wanaoendesha vyombo vya moto kuwa na leseni pamoja vyeti vya udereva vilivyotolewa na vyuo vinavyojulikana na serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS