Zitto Kabwe aungana na Waziri Lugola

Mbunge wa Kigoma mjini ACT-Wazalendo Zitto Kabwe (kulia) akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola.

Mbunge wa Kigoma mjini ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola aliyehutubia akiwa wilayani Uvinza mkoani Kigoma ndiye Kangi halisi na si mwingine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS