Afukuzwa kazi kisa kummwagia maji ombaomba

Mfanyakazi wa mgahawa mmoja katika mji wa New York nchini Marekani amefukuzwa kazi kufuatia video iliyosambaa mtandaoni iliyomuonesha  akimmwagia maji raia mmoja asiye na makazi aliyekuja katika mgahawa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS