Bodaboda wanaoingia mjini kukiona

Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam Lazaro Mambosasa amesema jeshi hilo linaendesha msako maalum wa kuwakamata madereva bodaboda ambao watakuwa wakifika mjini ikiwa ni kinyume na taratibu za sheria za jiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS